SHERIA2
Don't miss

About Us


About Us


Tunatoa Msaada sa Sheria, tunaandika vitabu vya sheria kwa kiswahili na kwa kiingereza ambavyo tumesambaza Tanzania nzima. Waandishi wa Vitabu vyetu ni Wanasheria walioendesha kesi miaka mingi na vitabu vimehaririwa katika mikono ya Wanasheria kadhaa waliobobea. Pamoja na kwamba hatuajafika kila mkoa nchini Tanzania, tutakufikia popote ulipo kwa kitabu utakachohitaji kwa mawasiliano nasi kupitia 0753595997, 0783 595997.

Tayari tumechapisha vitabu vipya vifuatavyo:-

  1. HAKI YA DHAMANA POLISI & MAHAKAMANI
  2. MAHAKAMA YA JINAI YA KIMATAIFA (ICC-THE HAGUE)
  3. MAUZO YA ARDHI & NYUMBA
  4. SHERIA ZA NDOA TANZANIA
  5. SHERIA ZA WOSIA NA MIRATHI
  6. COURT OF APPEAL DECORUM (namna ya kufanya ukiwa na kesi Mahakama ya Rufani, kwa wale wanaoenda Mahakama ya Rufani kwa mara ya kwaza).
  7. CRIMINAL LAW AND PROCEDURE, TRIAL BEFORE THE HIGH COURT (namna ya kuendesha kesi za Jinai Mahakama Kuu, hii ni kwa mawakili wa kujitegemea na mawakili wa serikali, na raia wanaopenda kujifunza inavyokuwa).
  8. CRIMINAL LAW AND PROCEDURE, TRIAL BEFORE SUBORDINATE COURT (namna kesi za jinai zinavyoendesha Mahakama za chini, hii ni kwa raia, na wanasheria, kitabu kimefafanua kila hatua ya uendeshaji kesi, nini cha kufanya na nini hakitakiwi kufanyika, makosa mbalimbali yanayofanywa na waheshimiwa Mahakimu, waendesha mashitaka na mawakili wa kujitegemea).
  9. SELECTED LEGAL PRINCIPLES IN CRIMINAL LAW, COURT OF APPEAL PRECEDENTS (kitabu hiki kinawafaa sana wanasheria wanaoendesha kesi mahakamani kwasababu kuna principles mpya za case law mpya za Mahakama ya Rufani. Waandishi wa vitabu hivi wametokea mbele ya Mahakama ya Rufani kwa miaka kadhaa, ni wazoefu). 

0 comments: